Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la
Mtama, Bernard Membe akiwapungia mkono wanachama wa Chama Cha Mapinduzi
(CCM), na wananchi waliofika kumpokea nje ya Ofisi ya CCM Mkoa wa Mbeya
jana, baada ya kuwasili mkoani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini
watakaotia saini fomu zake za kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao
kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 877
|
Post a Comment