Featured

    Featured Posts

HII NDIYO ZAWADI ALIYOIPATA DOGO ASLAY KWENYE BIRTHDAY YAKE

3
Kila mtu anapenda zawadi nzuri.. kumbukumbu nzuri ambayo atakuwa nayo staa ambae ni mmoja ya members wa Yamoto Band, Aslay ni hii gari ambayo kapewa kama zawadi ya kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa.
Mkubwa Fella, ambaye ni boss wa Mkubwa na Wanawe amesema hii ni sehemu ya shukrani pia kwa Aslay ambae amekuwa nae kwa muda mrefu kwenye safari muziki.
Saidi Fella>>“Kiukweli nina story ndefu sana kwa kijana wangu Aslay kwani nimeanza naye kazi toka akiwa mdogo sana na amekuwa mfano wa kuigwa hata kwa vijana wenzie nilionao katika kundi la Mkubwa na Wanawe>>
Licha ya kumkabidhi gari leo ila bado nimewaandalia nyumba nzuri za kisasa kwa wote wa nne na ni matarajio yangu Mheshimiwa Rais atakuja kuzindua nyumba hizo“>> Mkubwa Fella.
4
2
Mkubwa Fella anamkabidhi funguo Aslay.
3
Hii ndio gari aliyokabidhiwa Aslay
DSC_0174
DSC_0176

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

.....


Powered by Blogger.

Translate

Total Pageviews

Copyright © HABARI ZA LEO | Designed By Code Nirvana