Featured

    Featured Posts

YANGA YAJIWINDA NA KOMBE LA KAGAME


Kocha Hans van Pluijm (mwenye kofia) akiwapa maelekezo wachezaji wake.
Kocha Msaidizi, Charles Boniface Mkwasa, akitoa maelekezo kwa wachezaji.
Mchezaji mpya wa Yanga, Lansana Kamara akijiandaa kupiga mpira kwenye mazoezi hayo.Mazoezi yakiendelea.
Kipa mpya wa Yanga, Benedicto Tinoko akijaribu kulifuata shuti lililopigwa na Kamara bila mafanikio.
Sehemu ya mashabiki walioingia kwenye mazoezi hayo ambapo leo waliingia kwa kiingilio cha shilingi elfu moja.
KIKOSI cha Yanga leo kimeendelea kujifua kwenye Uwanja wa Karume Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujiwinda na michuano ya Kombe la Kagame inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
  Mazoezi hayo yalihudhuriwa na wachezaji wachache kufuatia wengi kuwa mapumzikoni na wengine kuwa kwenye vikosi vya timu ya taifa ile iliyokwenda kucheza na Rwanda hivi karibuni na kikosi kingine kinachojiandaa kuvaana na Mafarao wa Misri katika michuano ya Afcon.
(PICHA : RICHARD BUKOS /GPL)  

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

.....


Powered by Blogger.

Translate

Total Pageviews

Copyright © HABARI ZA LEO | Designed By Code Nirvana