Wakati
noto la uchaguzi likiendelea kupanda katika majimbo mbalimbali nchini
Tanzania msanii maarufu ambaye anatarajiwa kugombea ubunge katika jimbo
la Mikumi kwa tiketi ya chadema Profesa Jay ameendelea na ziara ambazo
hazina kikomo katika Jimbo hilo akifungua matawi Mbalimbali ya chama
hichoJana ikawa zamu ya boda boda,na hiki ndicho alichoandikia katika
Mtandao wake wa Kijamii Baada ya ziara hiyo |
Post a Comment