Staa mkonhwe wa bongo movies
, Jacob
Stephen ambaye ni mkurugenzi wa
kampuni yake inayojihusisha na utengenezaji wa filamu, Jerusalem Films Company amedokeza kuwa filamu inayokwenda kwa jina la MAHABUSU ndiyo kazi mpya inayofuata kuingia sokoni.
kampuni yake inayojihusisha na utengenezaji wa filamu, Jerusalem Films Company amedokeza kuwa filamu inayokwenda kwa jina la MAHABUSU ndiyo kazi mpya inayofuata kuingia sokoni.
JB aliyasema hayo kupitia ukursa wake mtandaoni ambapo aliweka picha hiyo hapo juu ya kasha la filamu hiyo na kuandika.
Kutoka Jerusalem films hii ndio
inakuja.inaitwa MAHABUSU.
Washiriki....unaikumbuka Regina unamkumbuka
yule dada aliyecheza kama Regina.pia yupo marehemu Adam Kuambiana na Ben
Kinyaia.pamoja na waigizaji nguli toka Norway....
Hajo juu ni picha ya Regina aliyetajwa humo.
Tuendelee kuisubiri.
Post a Comment