Habari zenu wapendwa, Last night nilikuwa nago through my
emails,nikakuta kuna email kutoka kwa MDAU WETU WA KIKE,aliituma kama
wiki moja iliyopita,aliniambia kuwa yeye bado ni bikira lakini kuna mtu
ametokea kumpenda na anataka kupeana nae Raha na Utamu kwa mara ya
kwanza katika Maisha yake. Kwa
hiyo akaniuliza maswali mawili,swali la kwanza alikuwa anataka kujua
jinsi ya kumridhisha boyfriend wake,alikuwa anataka kujua mambo muhimu
kwa sababu hana experience, aliuliza Jinsi ya kupeana Raha na Utamu bila
Maumivu kwa kuwa yeye bado bikira,so jibu lake ndio hii Post yenyewe.
Ingawa asilimia kubwa ya wanawake au wasichana,hupata maumivu pale
wanapokuwa wanatolewa bikira zao,wapo ambao hawapati maumivu kabisa na
pia wapo ambao hupata maumivu kidogo sana kulingana na hizo bikira
wanatolewa na Mwanaume gani na huyo Mwanaume anajali(care) kiasi gani.
Yapo Mambo ambayo ukifanya,kuna uwezekano mkubwa sana wa kutopata
Maumivu wakati unatolewa bikira,na hata kama ukipata Maumivu basi
yanakuwa kidogo sana tofauti na marafiki zako wa kike ambao kila siku
wanakuambia kuwa inauma sana kitu ambacho sio kizuri kisaikolojia, kwani
wanakuwa wanazidisha uoga Ndani ya akili na Nafsi yako,na ukiruhusu
Uoga ukutawale then obviously lazima utaexperience the same pain kama
wao(which you shouldnt coz tendo linaitwa Raha na Utamu,na sio Raha na
Maumivu)
Baadhi ya mambo inabidi afanye Mwanamke na mengine afanye Mwanaume,so
itapendeza kama hii post msome wote,au soma peke ako kisha utamwambia
kitu gani anatakiwa kufanya,mambo yenyewe ni kama ifuatavyo,
1.JARIBU KUWA COMFORTABLE NA ASHKI ZAKO
Wanawake/wasichana wengi wenye bikira wanakuwa hawana elimu ya kutosha
kuhusu miili yao. Na kitendo cha kutojua kinajenga uoga na mwisho wake
huo uoga unaongeza maumivu wakati wa kupeana Raha na Utamu kwa mara ya
kwanza.(kisaikolojia)
Post a Comment