Michuzi Blog inatoa pole kwa wote waliofikwa na mafa na wote waliopoteza ama kuharibikiwa na mali zao na nyumba. Tunawaombea Mungu awape moyo wa Subira na nguvu kukabiliana na majanga haya - Ameen.
Mvua
zilizonyesha leo Zanzibar na kusababisha maruriko na kuwaweka watumiaji
barabara kama inavyoonekana kwenye picha wakati mgumu. Waendesha ,agari
nao wakipita kwa uangalifu mkubwa. Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji
kutokana na mvua zilizonyesha leo Zanzibar. Nyumba zikiwa zimezingirwa
na maji. Mitaro ikiwa imejaa maji kutokana na mvua iliyonyesha leo
Zanzibar. Maji kila sehemu kama unavyoonekana kwenye picha. Wananchi
wakitafakali jambo ya jinsi gani yakufanya baada ya mvua iliyonyesha
Zanzibar leo kusababisha kuta za baadhi ya nyumba kumong'onyoka. Kuta
iliyomong'onyoka kwa mvua zilizonyesha leo Zanzibar. Mwananchi akiweka
kifusi kuokoa ukuta usimong;onyoke zaidi.
BOFYA HAPO JUU KWA KUPATA KUONA NAFASI ZA AJIRA ZA KILA SIKU, MTAARIFU NA MWINGINE